@janetndeanasiambene39754 years agoWell done dr mwinyi! God is great! Well done ccm! For a great choice! 1
@
@felistermaximillian27934 years agoI knew it and i believed in you since day one, dr hussein mwinyi, you real deserve it.
@
@abuuahmadabdul-rahman90254 years agoAllah ampe dukta hussein mwinyi tawfiki na afungulie milango ya kheri ya kila jema katika mikono yake. 6
@
@mehboobkassam90314 years agoHongera dr hussein mwinyi. Mwenyezi mungu akutangulie kwa rahema na neema zake. 5
@
@ashamaggimba8764 years agoHongera dr. Hussein mwinyi mungu akusimamie uwe mshindi wa kiti cha uraiskwa uwezo wake allah subhana. Wataala. 10
@
@kalundemalale88374 years agoHongera sana dr. Hussein mwinyi kwa hatua hii nzuri, allah akutangulie na akusimamie insha allah. Nakutakia kila lenye kheri. 1
@
@hawakassimu61204 years agoHongera ndugu hussein mwinyi mungu alutangulie, mtu mwadilifu wewe na mnyenyekevu pia mpole ccm hawajakosea wala kubahatisha. 2
@
@amonbwanakunu9103 years agoMheshimiwa rais wa zanzibar mheshimiwa doctor hussein ally mwinyi, kila siku ninakuombea kwa mwenyezi mungu, ninakutakia kila la kheri katika majukumu yako.
@
@saimonirugwila344 years agoHongera dk husseni mwinyi kwa kupeperusha bendera ya chama cha mapinduzi. 1
@
@lasttrumpetmission12624 years agoMungu akutangulie kwa ushindi huu, napenda unyenyekevu wako. 5
@
@magesachacha38974 years agoHongera sana mwinyi kwa hatua hii pia hotuba yako ni nzuri sana. 1
@
@rosemarychuwa86964 years agoHakika ni muda muafaka wa dr hussein mwinyi, mungu akulinde na kila baya.
@
@omarmohd18824 years agoMillard ayo mungu akupe nguvu " zaidi. 2
@
@adammwita31504 years agoKweli unafaa kuwa rais, maana wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa jkt umejitahidi xana, hongera xana. 4
@
@yohananhembelo54734 years agoVzr sana mwiny pambana kwa masilahi yazazbar na tanzania kwaujumla. 5
@
@ms.independent89344 years agoNimefurai kuona ameshinda mwinyi, maana yule mzee membe na mzee sefu wataburuzwa kwa kidole' ki1 tuu ccm wengine wataisoma namba2 na wakajifunze sanaa. 5
@
@halimafaki81754 years agoDr. Mwinyi allah akuzidishie ujairi uwongoze zanzibar kama magufuli na uwatumbuwe wezi bila huruma.
@
@isayamsese34304 years agoHongera sana kwa ushindi huseni mwinyi kwa uraisi.
@
@jamilmwinge36954 years agoKaisha kua rais uyo bado kuapishwa tu. 10
@
@machintangachibwena59224 years agoMagufuli ndio rais wa kwanza duniani tangia mfumo wa vyama vingi vianze ambae hajapata mgombea mwenza katika chama chake kwa kupitia kiti cha uraisi nomaa kweli magufuli baba lao. 6
@
@odenmwashambwa70064 years agoHata mimi husema mwinyi namkubali sana kama rais wangu magufuli ninavyo mkubali. 1
@
@friminamkenda74054 years agoSefu utaisoma namba jman kka mnyenyekevu sana unafaa mwinyi. 1
@
@jaafarmkatta13364 years agoMnaoumia mnajulikana tu kwa comment zenu. Lakini haisaidii. Ni ishara ya jinsi itakavyokuwa hata kwenye uchaguzi mkuu. 3
@
@charlesyapuka49924 years agoHuyu jamaa ni kauzu zaidi ya magufuli namfaham vzur sana kazi ipo. 7
@
@Alkebu_lan224 years agoMh ukishapata urais hapa zanzibar tunaitaji serikali ya kmama bala, huku mafisadi na wakandamizaji ni wengi na rushwa chafu. Set captivity free.
@
@deusinkayamba36764 years agoWewe na magufuli bado kuapishwa hongelen xana. 1
@
@abaskhatoon94254 years agoUnapita znzbar dua zetu ziko na wewe keept up.
@
@sameramwajdu90294 years agoJamani uyo nimzaliwa wa zanzibar au ndio ukibugi kwa magufuli una toka tuu. 1
@
@erickkinubi13944 years agoKwani hotuba nzito zinaanzia kilo ngapi millard.
@
@hanifahassan91384 years agoNyota ya nge oye ni watu ambao tunajiamini sana hongera dr mwinyi kwa kuchuana na nyota ya mizani na nyota ya punda ni furaha tu kwetu km naweni nge gonga like tuwe pamoja. 4
@
@masharubundevu37654 years agoMwana wa nyoka ni nyoka tu, hy ndo walewale, hwn moja,
@
@jeanmubemba12044 years agoNimefurahi sana ma daktari tumetisha anatoka pathologist anaingia gwiji tena. 6
@
@ukweliunauma45704 years agoWapiga kura wote 164. Ccm zanzibar ni 35 katika wapiga kura wote. Hakuna kura iliyo haribika. c. C. M bara 129 +35= 164 dr khalid 19 id="hidden5" shamsi 16 dr husen mwinyi 129 kura zote 129 zinatoka tz bara sasa wanzibar wenye imani na nchi wazimgatie haya kuna nini. ...Expand
@
@masharubundevu37654 years agoTushakuchokeni wazanzibar wote tumekuwa km vizee kwa hali ya misha ilivo ngumu muungano unatuuwa hauna usawa ila mungu anakuoneni. 1
@
@sponsor78824 years agoKila kitu kishapangwa kitambo, wanatuchezea akili tu.
@
@ambestambest91654 years agoOya tunamsubiri mtoto wa sheini ajekuwa raisi kumamake kama tunaongeza kifalume bwana.
@
@hanifahassan91384 years agoNawe mwinyi usifurahi tu kwamba utalindwa pole na majukumu yajayo. 2
@
@riziwanirashid91334 years agoChama hiki ni chama cha mjambazi cha watu wenye laana la mwenyezimungu laana tu llaah wote iko siku allahtu kama alivyo mungamiza firauni laana tu allah na watu wake muda utafika tu inshaa allah.
@
@temkezatv43814 years ago" tanzania kwanza mengine baadae jpm nambari 1 katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza. ...Expand
@
@msheremasoud95274 years agoTunajua hakuna hali ngumu zaidi ya tunayoipitia ingawa dhulma haiwi halali tunamuomba allah atusame na atuondishee mabalaa.
@
@hajimakame10624 years agoHatumtaki huseni uyoo si mzazibari uyoo mume muandaa miaka 5 uyoo kuja kuiuwa zanzibar mnamleta huku aje amalize zanzibar sio sikwao uyoo huku uyoo makufuli.
@
@ndimimaskati36414 years agoHuwezi kuwa rais wa zanzibar, wewe ni mtanganyika. Kiongozi wa zanzibar ni lazima awe mzanzibari.
@
@masharubundevu37654 years agoMadhalimu wakubwa kwa mungu mtajibu jioneni duniani mshapeta ila kwa mungu mtajibu.
@
@maiyaal7inai2604 years agoHakuna shule wala hospital bora masikini anazidi kuwa maskini na hakuna vijana wote wazee kwa maisha ila wsfalme wa kiaafrica wanarithiana madaraka insmaana znz ccm hakuna wasomi. 2
@
@sasha-ri7tf4 years agoHapo tumesha wanyoa bila ya kuweka maji bado maalim kutangazwa, maalim atajitangaza kama2015 ili apate kututoa majumbani tuanze mapambano ya kihistoria asiye na nguvu abakiye nyumbani ni siku ya ukombozi wa kweli. ...Expand1
@
@marymfugwa8474 years agoAliye nacho ataongezewa. Baada ya miaka kumi tunarudi kwa karume.
@
@officialjohanesmkandara43014 years agoMtoto wa rais anakua rais na mtoto wa mkulima atakua mkulima2 tunasubili mjukuu wa mzee mwinyi nae aje kua rais tukijahaliwa inshallah wakulima wenzangu tukutane shamba. 5
@
@ukweliunauma45704 years agoNchi ya hao tu mpaka akitoka mwana mjukuu baadae, nashangaa ao wana chama wako kama mazuzu, vipofu wanafata mkondo kwa faida ya wengine, kidumu chama cha mapinduzi kidumu mpaka kiama. 1
@
@sameramwajdu90294 years agoKanafurahii wafkiri ndio kushapita uongozi ni maswali utakwenda ulizwa mbele ya haki.
Related videos for HOTUBA NZITO YA HUSSEIN MWINYI BAADA YA KUCHAGULIWA KUWA MGOMBEA URAIS ZANZIBAR:
kila siku ninakuombea kwa mwenyezi mungu,
ninakutakia kila la kheri katika majukumu yako.
c. C. M bara 129 +35= 164
dr khalid 19 id="hidden5"
shamsi 16
dr husen mwinyi 129
kura zote 129 zinatoka tz bara sasa wanzibar wenye imani na nchi wazimgatie haya kuna nini. ...Expand