Duration 1:9

CHALAMILA AKABIDHI OFISI RASMI KWA RC MPYA WA MWANZA MUDA HUU, BAADA YA KUTENGULIWA NA RAIS SAMIA

83 213 watched
0
340
Published 11 Jun 2021

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Albert Chalamila amekabidhi rasmi Ofisi leo kwa Mkuu wa Mkoa mpya wa Mwanza Robert Gabriel. Uteuzi wa Chalamila umetenguliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwenye mabadiliko madogo ya Wakuu wa Mikoa aliyoyafanya ambapo Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhandisi Robert Gabriel Luhumbi amehamia Mkoa wa Mwanza kuchukua nafasi ya Chalamila huku RC wa Tabora Ally Hapi akienda Mara kuwa RC akichukua nafasi ya Gabriel, swipe kuona picha nyingine. #MillardAyoUPDATES

Category

Show more

Comments - 241