Duration 5:4

AFANDE SELE ATOA YA MOYONI MBELE YA MAGUFULI

90 919 watched
0
422
Published 15 Mar 2018

VIDEO: KWAHISANI YA AZAM TV. Msanii wa Hip Hop Bongo, Selemani Msindi ‘Afande Sele’ leo ametangaza rasmi kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM mbele ya Rais Magufuli ambaye ndiye mwenyeki wa chama hicho. Afande Sele alikuwa ni kada wa chama cha ACT Wazalendo alikuwa mgombea ubunge wa jimbo la Morogoro Mjini katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kabla ya kujivua uanachama wa chama hicho mwaka jana. Tukio hili limetokea katika hafla ya uzinduzi wa Kiwanda cha sigara cha Philip Morris International Limited, mkoani Morogoro. Tazama ilivyokuwa.

Category

Show more

Comments - 17